Take a short passage written in your own language. Two or three sentences is enough.
If you know Kiswahili, you could use this passage:
Badala ya kulijibu, Dzombo alizinduka kwa ghafla. Huku akipumua kwa utaratibu, akajikuta akibembeshwa na kitanda. Ni baada ya macho kumwangaza sawa sawa ndipo alipomwona Mtu-Bint Fikirini mlangoni ni kisinia mkononi. –From Walenisi by Katanga Mkangi, page 1371
Now do the same thing with a song written in your language. One verse– between two and six lines, for example– is enough.
If you know Kiswahili, you could use some lines from this song:
Penzi hujengwa na mapungufu yetu
Kubishana mara nyingi ndo kujifunza kwetu
Nayoona na kusikia hayawi mwisho wangu
Kumfanya abadilike kuwa mpenzi bora kwanguIngawa nawashukuru kwa tarumbeta mnazopiga
Msipige sana mkakufuru kukosea kupo jama
Sala nasali sijali napenda pasi na shaka
Kuruka ruka ka kunguru si jambo ninalotakaAtabadilika yatakwisha, ameshajifunza kwa makosa
– “Atabadilika” by Lameck Ditto2
Adapted from Bible Translation: An Introductory Course in Translation Principles, Fourth Edition by Katharine Barnwell, 2020, page 4.